BREAKING NEWS:MH SUGU NA MASONGA WAACHIWA HURU KWA DHAMANA




MH. SUGU NA MSONGA  WAACHIWA HURU KWA DHAMANA MUDA HUU SAA 19: 03 USIKU KATIKA MAHAKAMA YA MKOA WA MBEYA BAADA YA KESI YAO KUSIKILIZWA KWA SIKU NBILI MFULULIZO .

HUKUMU ITATOLEWA TAR 26/02/2018.


Leonce Marto  Mwenyekiti Bavicha Iringa mjini amethibitisha akiwa katika mahojiano mwandishi wetu


Leonce Marto ametoa Shukrani za dhati kwa Wakili Kibatala na wenzake pamoja na wananchi wote wa jiji la  Mbeya

Comments

Popular posts from this blog

MAANA HALISI YA USHOGA WA KISIASA, OGOPA KAMA UKOMA, EPUKA KUTUMIKA

KILIMO CHA NYANYA

Posho hii ifike hadi kwa walimu