Posts

Showing posts from May, 2020

Je tunatibu dalili au tunatibu ugonjwa?

Image
Ugonjwa ndio unasababisha dalili.  Na Dr Cyrilo Unaweza kutibu dalili usitibu ugonjwa (na sidhani kama neno kutibu litakuwa sahihi hapo) Lakini ukitibu ugonjwa bila shaka utakuwa umeondoa dalili.  Mfano! Dalili za Malaria: homa, maumivu ya viungo, kichwa, kuchoka mwili, kutapika.... nk Sasa ukipewa dawa ya homa na maumivu, yawezekana homa na maumivu vikaoungua au kuondoka, lakini bila dawa ya kuangamiza vimelea vya Malaria bado hujatibu ugonjwa... Na kwahiyo dalili hizo zitarejea opunde... 🤷🏽‍♂️