Posts

Showing posts from August, 2015

MWENYEKITI WA CCM MKOA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WA ARUSHA WAIBWAGA CCM NA KUTIMUKIA CHADEMA

Image
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Onesmo Ole Nangoro na Katibu Mwenezi wa mkoa Joseph Kadogoo wamejiunga na CHADEMA leo

JIPATIE NYUMBA YA KISASA YENYE HADHI YA KIMATAIFA KWA BEI POA ILIYOPO MKOANI GEITA, KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NAMBA 0687812220 au 0659970824

Image
Hii ndio nyumba ya kisasa inayouzwa mkoani Geita kwa mawasiliano zaidi piga  0687812220 au 0659970824 Ewee Mdau wa maendeleo, mpenda maendeleo, mpambanaji wa ukweli jipatie nyumba nzuri yenye hadhi nzuri kwa bei poa kabisa. "Nyumba hii ipo sehemu nzuri sana eneo la Mtaa wa Msufini katika kata ya Kalangalala, Makao makuu ya mkoa wa Geita" Kwa mjibu wa mmiliki wa nyumba hiyo alisema Nyumba yake ina vyumba 17 kila chumba kina ofisi yake kubwa yaani" Toilet" kwa kifupi  ni kwamba kila chumba ni  Self. Mmiliki huyo alisema pia "Nyumba yangu inafaa kwa kukaa familia  au biashara kutakana na uwingi wa idadi ya vyumba, ni nyumba yenye ubora na muonekano mzuri tena wa kisa

MALIMU SEIF,MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR AFUNGUKA BAADA YA MWENYEKITI WA CUF PROF. LIPUMBA KUJIUZULU

Fungua hapa umsikie alichosema

Mh EDWARD NGOYAI LOWASSA NI MSAFI

Image
Na Dr. Shindo Kilawa Mh Edward Lowassa  akiwa ameshika fomu ya kuwania urais kupitia Chadema Watu wengi wataishangaa kauli yangu, watakaa midomo wazi na kujiuliza maswali kibao moja ya maswali watakayojiuliza ni kama yafuatayo. Anasema EL ni msafi wakati alithubutu kumuita Fisadi? Usafi wake uko wapi au kwa kuwa kahamia Chadema? Huyu anayesema haya ni mamluki au Chadema kweli? Hayo ni baadhi tu ya maswali japo najua kuna maswali mengine mengi zaidi juu ya mh EL. Wanapoendelea kujiuliza ni vyema na mm niwaulize maswali kadhaa kama ifuatavyo? Kama EL ni mwizi au fisadi ni kwanini hadi leo hajakamatwa na kupelekwa Mahakamani? Je hajakamatwa kwakuwa serikali ni dhaifu au haijui sheria inazosimamia yenyewe au iliogopa kuumbuliwa zaidi? Toka 2008 hadi leo nini kimefanyika baada ya EL kwa kulinda heshima yake na kuamua kujiweka pembeni? Tunadhani ni kwanini jina lake liliishia njiani? papo hapo jiulize kwanini Rizone alitweete akionesha hayupo tayari kuona Rais akit